JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


WHO YATOA MSAADA WA DAWA ZA KUTAKASA MAJI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Share This
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii Dk Donan Mmbando  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani kwa kulishukuru shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) kwa kutoa msaada wa Dawa za kutakasa maji (Water Guard ) leo jiji Dar es Salaam kulia ni Mwakilishi wa shirika la Afya Ulimwenguni hapa Nchini Dk Rufaro Chatora.
 Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii Dk Donan Mmbando leo jiji Dar es Salaam
 Mwakilishi wa shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) hapa Nchini Dk Rufaro Chatora akimkabidhi msaada huo Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk Donan Mmbando  leo jiji Dar es Salaam
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk Donan Mmbando  akimkabidhi Mgaga Mkuu wa Serikali, Dk.Grace Magembe  msada huo ulio tolewa na shirika la Afya Ulimwenguni leo jijini Dar es Salaam
( Picha na Emmanuel Massaka)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad